Sheikh Ponda sasa kujaribu wakili kafiri

Kwameh

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
1,793
Reaction score
2,152
09/04/2014

Kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi, Morogoro




KATIBU wa Taasisi na Jumuiya ya Kiislamu, Sheikh Issa Ponda, ameendelea kusota rumande hadi pale jalada la kesi yake litakaporejeshwa kutoka Mahakama Kuu.

Sheikh Ponda anayetetewa na wakili wa kujitegemea, Batheromeo Tharimo alifikishwa mahakamani hapo chini ya ulinzi mkali licha ya kutokuwepo umati mkubwa wa wafuasi wake....

_____________________________

My take: Takbiiiiiiir!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…