mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Sheikh Said Nyange amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 48 usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua ghafla akiwa Makka nchini Saudi Arabia alipokwenda kuhiji na tayari ameshazikwa hukohuko baada ya kupata ridhaa kutoka kwa familia.
Kazaliwa Machame,kazikwa Mecca Saudi Arabia
Kazaliwa Machame,kazikwa Mecca Saudi Arabia