TANZIA Sheikh Said Nyange afariki akihiji Mecca na kuzikwa hukohuko

TANZIA Sheikh Said Nyange afariki akihiji Mecca na kuzikwa hukohuko

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Sheikh Said Nyange amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 48 usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua ghafla akiwa Makka nchini Saudi Arabia alipokwenda kuhiji na tayari ameshazikwa hukohuko baada ya kupata ridhaa kutoka kwa familia.
Kazaliwa Machame,kazikwa Mecca Saudi Arabia
 
Sheikh Said Nyange amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 48 usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua ghafla akiwa Makka nchini Saudi Arabia alipokwenda kuhiji na tayari ameshazikwa hukohuko baada ya kupata ridhaa kutoka kwa familia.
Kazaliwa Machame,kazikwa Mecca Saudi Arabia
Mungu amrehemu....
 
Sheikh Said Nyange amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 48 usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua ghafla akiwa Makka nchini Saudi Arabia alipokwenda kuhiji na tayari ameshazikwa hukohuko baada ya kupata ridhaa kutoka kwa familia.
Kazaliwa Machame,kazikwa Mecca Saudi Arabia
Imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba hii dunia.

Religious suicide, kwa kuwa wameambiwa wakifa Mecca wanaenda mbinguni, wengi husababisha mkanyagano makusudi ili wafe wakihiji, wengine hukuza zaidi magonjwa yao ili wafe wakiwa huko..
 
Back
Top Bottom