Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau wote tumepata msiba mzito kwa kuondokewa na Shehe maarufu nchini aendaye Kwa jina la Salim Mubaaraka (Daruwesh Mtu Mkavu) ambaye amefariki Dunia alfajiri ya Jumatano tarehe 21 / 08/ 2024
Innaa Lillah Wainnaa Ilayhi Raajiuun...
Darsa Tv
Innaa Lillah Wainnaa Ilayhi Raajiuun...
Darsa Tv