Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
SHEIKH SHABAN RASHID MSUYA MWANAFUNZI WA SHEIKH HASSAN BIN AMEIR 1950s
"Nakumbuka safari ya kwanza ya Mwalimu Nyerere UNO mwaka wa 1955, Sheikh Hassan bin Ameir alinichukua mimi na wenzangu kwenda Al Jamiatul Islamiyya kwani kulikuwa na sherehe ya kumuaga Nyerere.
Sisi vijana wa madras ndiyo tuliokuwa pale kugawa soda, sambusa na keki kwa wageni waliokuja kumuaga Nyerere."
Sheikh Shaban Rashid Msuya
Jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) lilijengwa mwaka wa 1936.
"Nakumbuka safari ya kwanza ya Mwalimu Nyerere UNO mwaka wa 1955, Sheikh Hassan bin Ameir alinichukua mimi na wenzangu kwenda Al Jamiatul Islamiyya kwani kulikuwa na sherehe ya kumuaga Nyerere.
Sisi vijana wa madras ndiyo tuliokuwa pale kugawa soda, sambusa na keki kwa wageni waliokuja kumuaga Nyerere."
Sheikh Shaban Rashid Msuya
Jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) lilijengwa mwaka wa 1936.