hebu yanukuu MANENO HALISI YA huyu mnajimu hapa hapa yanayoelezea kifo cha dk gama!TUTAMBURUZA MAHAKAMANI MAPEMA TU....WanaJF mimi naomba kuuliza kama kuna wataalamu wa sheria je, kwa kauli za sheikh yahya kwamba kifo cha Dk. Gama ni ishara ya ushindi wa JK je hii si inaonyesha alijua kifo hicho?
Na kama hakujua kwa nini asiulizwe nini kimemsukuma ahusishe kifo cha mtu na ushindi wa kikwete?
Je, kikwete ili ashinde ni lazima mtu afe??
Je, huu siyo uchawi?
Je, Kikwete ni mchawi kweli?
mpaka hapa tulipo hii nchi inaendeshwa kichawi-chawi tuWanaJF mimi naomba kuuliza kama kuna wataalamu wa sheria je, kwa kauli za sheikh yahya kwamba kifo cha Dk. Gama ni ishara ya ushindi wa JK je hii si inaonyesha alijua kifo hicho?
Na kama hakujua kwa nini asiulizwe nini kimemsukuma ahusishe kifo cha mtu na ushindi wa kikwete?
Je, kikwete ili ashinde ni lazima mtu afe??
Je, huu siyo uchawi?
Je, Kikwete ni mchawi kweli?
usishangae kusikia kuwa waliokufa wote walisababisha/watasababisha ushindi wa SUNAMI kwa chama chetu..............kunaWanaJF mimi naomba kuuliza kama kuna wataalamu wa sheria je, kwa kauli za sheikh yahya kwamba kifo cha Dk. Gama ni ishara ya ushindi wa JK je hii si inaonyesha alijua kifo hicho?
Na kama hakujua kwa nini asiulizwe nini kimemsukuma ahusishe kifo cha mtu na ushindi wa kikwete?
Je, kikwete ili ashinde ni lazima mtu afe??
Je, huu siyo uchawi?
Je, Kikwete ni mchawi kweli?
WanaJF mimi naomba kuuliza kama kuna wataalamu wa sheria je, kwa kauli za sheikh yahya kwamba kifo cha Dk. Gama ni ishara ya ushindi wa JK je hii si inaonyesha alijua kifo hicho?
Na kama hakujua kwa nini asiulizwe nini kimemsukuma ahusishe kifo cha mtu na ushindi wa kikwete?
Je, kikwete ili ashinde ni lazima mtu afe??
Je, huu siyo uchawi?
Je, Kikwete ni mchawi kweli?
Nakumbuka mmoja alifumwa pale kwa spika bungeni..........!!!!!Tena ofisi nyeti za serikali ,uchawi ndo umezidi.Bunge limejaa wachawi.Yani vibosile wanapigana vikumbo tu Bagamoyo kwa kina sharif.
Na zile pete kuubwa za shehe Yahaya viongozi wengi wanazo.Kwa hiyo si jambo la kushangaza wakitetea uchawi
heheeheh weeweNakumbuka mmoja alifumwa pale kwa spika bungeni..........!!!!!
nakumbuka mmoja alifumwa pale kwa spika bungeni..........!!!!!
Ndiye muhusika mkuu
Halafu ushahidi ukapotezwa ,eti kamera hazikuona kitu,wakti mwenyewe kasema alikuwepo,nchi hii bana....Nakumbuka mmoja alifumwa pale kwa spika bungeni..........!!!!!
usishangae kusikia kuwa waliokufa wote walisababisha/watasababisha ushindi wa SUNAMI kwa chama chetu..............kuna
KOLIMBA, CHIFUPA, MALIMA, BALALI, GAMA, NYERERE, NG'ITU, JUMBE, ..............etc.......etc.......
Serikali inatambua uchawi?
hapo kwenye bold ni kwamba hiyo sheria iliyopitishwa na bunge ilikuwa kwa minajili ya kudhibiti vitendo vya kichawi.ndiyo....mbona Bunge likapitisha wichcraft Act sikumbuli ni Act y amwaka gani na mkuu wa nchi akaipiga ssaini yake???!!!
anyway huyu the so called mtabiri naskia kuna kipindi aliugua na 'sirikali' ndo ilimpeleka India kutibiwa...kwa interest zipi mi sijui tena msiniulize kabsaa staki!!!!
usishangae kusikia kuwa waliokufa wote walisababisha/watasababisha ushindi wa SUNAMI kwa chama chetu..............kuna
KOLIMBA, CHIFUPA, MALIMA, BALALI, GAMA, NYERERE, NG'ITU, JUMBE, ..............etc.......etc.......
hapo kwenye bold ni kwamba hiyo sheria iliyopitishwa na bunge ilikuwa kwa minajili ya kudhibiti vitendo vya kichawi.
Je unataka kutuambia kwamba kupitishwa kwa sheria ya rushwa ni sawa na kusema serikali inaamini katika RUSHWA? gimme break bana