Makanyaga JF-Expert Member Joined Sep 28, 2007 Posts 11,129 Reaction score 7,321 Jun 21, 2010 #1 Vipi huyu mtaalamu wetu bado hajasema chochote kuhusiana na Bingwa wa Kombe la Dunia mwaka huu? Kuna tetesi anaweza akaitaja nchi husika, hasa michuano itakapokuwa imefika round ya 4 au 5 nadhani. Mwenye taarifa zaidi atuletee!
Vipi huyu mtaalamu wetu bado hajasema chochote kuhusiana na Bingwa wa Kombe la Dunia mwaka huu? Kuna tetesi anaweza akaitaja nchi husika, hasa michuano itakapokuwa imefika round ya 4 au 5 nadhani. Mwenye taarifa zaidi atuletee!
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Jun 21, 2010 #2 Uchawi kwetu mwiko. Mpira ni dakika tisini.
Ringo Edmund JF-Expert Member Joined May 10, 2010 Posts 4,879 Reaction score 1,126 Jun 21, 2010 #3 kama ni mtabiri kweli aende kitimtim akakombe mahela
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 Jun 21, 2010 #4 Huwa anatabiri baada ya timu kuchukua ubingwa, yaani baada ya mechi ya fainali kuchezwa yeye ndo anaibuka na utabiri wake.
Huwa anatabiri baada ya timu kuchukua ubingwa, yaani baada ya mechi ya fainali kuchezwa yeye ndo anaibuka na utabiri wake.
Tonge JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 695 Reaction score 12 Jun 21, 2010 #5 "Wamuamini hao wamuaminiwo, ila kwa wasio muamini utabiri wake ni ujinga mtupu mbele z:jaw:
B blackpepper JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 381 Reaction score 16 Jun 21, 2010 #6 tuwaulize channel ten manake ndo wanamuamini na kumtukuza sana hadi wamempa kipindi
Ngomo JF-Expert Member Joined Oct 15, 2009 Posts 200 Reaction score 95 Jun 21, 2010 #7 kwa hili naona yahya hawezi kuchangia kitu, hapa hakuna uchawi wowote ule na unajimu. anga hizi hana ubavu wowote bora amakaa kimya
kwa hili naona yahya hawezi kuchangia kitu, hapa hakuna uchawi wowote ule na unajimu. anga hizi hana ubavu wowote bora amakaa kimya