Sheikh yahya uso kwa uso na watoto wa babu seya

Kwani huyu Yahaya si alikuwa mgonjwa,kapata nafuu?
 
nafikiri utabiri wa gwajima unafanya kazi, ngoja tusubiri tuone..yetu macho..Mungu amsaidie tu aokoke kwasababu baada ya kifo ni hukumu hakuna kutubu tena.
 
Kwani huyu Yahaya si alikuwa mgonjwa,kapata nafuu?
Mtu akiwa anaumwa yanawezakana yakatokea moja kati ya mambo mawili apone au Afariki sasa hakuna cha ajabu kufa mtu au kupona mkuu. atapona tu sheikh Yahya Hussein inshallah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…