Makaayamawe
JF-Expert Member
- Feb 21, 2009
- 341
- 9
mambo ya protokali hayo
ha ha ha kwi kwi kwi kwiJamani kweli viongozi wakuu wa nchi maskini kama hii wanatoa kicheko kikubwa kama hicho hadharani? Napata maswali mengi kuhusiana na kicheko chao?
Msatu hamna protocol inayomlazimisha PM au Makamu wa Rais lzm aende uwanja wa ndege kila siku kumuaga Rais anapokwenda nje ya nchi.
Protocol karibu za kila nchi zinafanana na hii ya Rais kuagwa na kila afisa mkuu wa serikali ni kielelezo kingine kuwa hawa akina Shein hawana kazi za kufanya.Tunaona kila siku wakuu wa nchi zingine wakiondoka airpot huwa hamna msururu kama huu wa JK na watu wake!
Namuunga mkono mtoa hoja,hawa hawana kazi za kufanya!
Hii ni made ina Tanzania na wala haijaanza leo toka enzi za Mwalimu!
Msatu hamna protocol inayomlazimisha PM au Makamu wa Rais lzm aende uwanja wa ndege kila siku kumuaga Rais anapokwenda nje ya nchi.
Jamani kweli viongozi wakuu wa nchi maskini kama hii wanatoa kicheko kikubwa kama hicho hadharani? Napata maswali mengi kuhusiana na kicheko chao?
Hivi hawa wakuu hawana kazi ya kufanya mpaka wawe wasindikizaji wa Vasco Da Gama (JK) kila akitimua? Hata kwenda Zambia lazima wadamkie airport? Hivi hawana kazi za kufanya?
Rais Jakaya Kikwete, akifurahia jambo pamoja na Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohammed Shein (kushoto), na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere alipokuwa akisindikizwa kupanda ndege kwenda Zambia jana.
MwanaFalsafa1,
..Kikwete peke yake ndiye aliyekwenda Zambia baada ya kutoka Libya alipokuwa kuhudhuria mkutano wa AU.
..kila Raisi anaposafiri basi Makamu na Waziri Mkuu lazima wawepo Airport kumuaga.
..hata anaporudi safari wanakuwepo airport kumpokea.
..viongozi wengine kama Mkuu wa Mkoa, makamanda wa Jeshi na Polisi, na watumishi kibao hushiriki ktk zoezi la kumuaga na kumpokea Raisi.
..Makaayamawe anashauri kwamba utaratibu huu umepitwa na wakati na unapaswa kusitishwa kwani hauna tija yoyote kwa taifa.
Eh nae huyo Makaayamawe basi thread yake haileweki.
MwanaFalsafa1,
..Kikwete peke yake ndiye aliyekwenda Zambia baada ya kutoka Libya alipokuwa kuhudhuria mkutano wa AU.
..kila Raisi anaposafiri basi Makamu na Waziri Mkuu lazima wawepo Airport kumuaga.
..hata anaporudi safari wanakuwepo airport kumpokea.
..viongozi wengine kama Mkuu wa Mkoa, makamanda wa Jeshi na Polisi, na watumishi kibao hushiriki ktk zoezi la kumuaga na kumpokea Raisi.
..Makaayamawe anashauri kwamba utaratibu huu umepitwa na wakati na unapaswa kusitishwa kwani hauna tija yoyote kwa taifa.