Shekhe Mazinge aja na Maji ya Upako

Shekhe Mazinge aja na Maji ya Upako

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Huko tuendako utasikia vumbi la upako toka Maka

Shekhe Mazinge naye kaunga juhudi za harakati za upako. Jana nilipokuwa nashuhudia juu ya Shafii na Mazinge wanaomwita Dr. Sule mnganga, nao sasa kuangukia mle mle.

Kuna muislamu mmoja sababu ya kuwa na mahaba na Mazinge akakanusha. Sasa ushahidi huo hapo. Hivyo waache kelele kwa Dr. Sule, mwanamatengenezo ya wazi katika Uislamu. Yale ambayo yalikuwa yanafanyika kwa siri akayaweka wazi, akapingwa sana, ila sasa wameona jamaa anakunja noti huku wao wanapiga kelele.

Ipo hivi, anachofanya Sule na Firdaus kina ruhusiwa katika Uislamu na ushahidi upo wa kutosha. Siku moja nitaweka hapa.

Anyway labda hili litasaidia kuokoa wamama wa kislamu wanaokimbilia kwa Mwamposa, nilisikia (ga) Dr. Sule anasema hivyo.

Bado manabii tu wa upande huo kutokea kwa wingi like Mizra Gulam na Eliyasa wa Tanzania ili kutumiza Mathayo 24:24. Bado mtaona mengi na midomo yenu hiyo yenye majivuno na kelele itafungwa.

Na Jeff Massawe
 
Huko tuendako utasikia vumbi la upako toka Maka

Shekhe Mazinge naye kaunga juhudi za harakati za upako. Jana nilipokuwa nashuhudia juu ya Shafii na Mazinge wanaomwita Dr. Sule mnganga, nao sasa kuangukia mle mle.

Kuna muislamu mmoja sababu ya kuwa na mahaba na Mazinge akakanusha. Sasa ushahidi huo hapo. Hivyo waache kelele kwa Dr. Sule, mwanamatengenezo ya wazi katika Uislamu. Yale ambayo yalikuwa yanafanyika kwa siri akayaweka wazi, akapingwa sana, ila sasa wameona jamaa anakunja noti huku wao wanapiga kelele.

Ipo hivi, anachofanya Sule na Firdaus kina ruhusiwa katika Uislamu na ushahidi upo wa kutosha. Siku moja nitaweka hapa.

Anyway labda hili litasaidia kuokoa wamama wa kislamu wanaokimbilia kwa Mwamposa, nilisikia (ga) Dr. Sule anasema hivyo.

Bado manabii tu wa upande huo kutokea kwa wingi like Mizra Gulam na Eliyasa wa Tanzania ili kutumiza Mathayo 24:24. Bado mtaona mengi na midomo yenu hiyo yenye majivuno na kelele itafungwa.

Na Jeff Massawe
Mwamposa wa Kiislam...


..Ni Hayo Tu!
 
Njaa Haina baunser. Ukifuzu hicho kitabu Cha kiarabu hatima yako ni kuwa mganga wa JADI. Nenda kwenye Kila nyumba zao za ibada nje wanauza madawa ya kienyeji na ya mwarabu aliyewaletea dini. Nyingi ni feki za kuongeza nguvu za kiume sijui Kuna tatizo gani kwenye waoaji wa wake qwngi
 
Njaa Haina baunser. Ukifuzu hicho kitabu Cha kiarabu hatima yako ni kuwa mganga wa JADI. Nenda kwenye Kila nyumba zao za ibada nje wanauza madawa ya kienyeji na ya mwarabu aliyewaletea dini. Nyingi ni feki za kuongeza nguvu za kiume sijui Kuna tatizo gani kwenye waoaji wa wake qwngi
Njaa kwakweli Haina baunsa ,huo ni mtego muhimu sana wa shetani ,Hawa aliushindwa,Yesu aliushinda
 
Back
Top Bottom