Shekhe Ponda: Hata Mtume Muhamad na Yesu walionekana watata mbele ya watawala wao

Shekhe Ponda: Hata Mtume Muhamad na Yesu walionekana watata mbele ya watawala wao

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Shekhe Ponda amesema kuwa suala la yeye kuitwa mtata halimshangazi kwakuwa anasimamia haki na lengo lake ni kutafuta haki na ndiyo maana hata Mtume Muhamad na Yesu walionekana watata mbele ya watawala wao kwa sababu ya haki.
 
Sheikh Ponda ajengewe sanamu palepale mitaa ya Lumumba.
 
Kama amemaanisha mtu mbabe asiyesikia,asiyeshaurika,akiamua lake lazima liwe.basi yeye sio kama hao.

Yesu hakuwa mtata ila alikuwa mchokozi ila mwenye majibu ya kuudhi tu na alipotiwa mikononi aliadhibiwa bila hata utata! Na waliomuadhibu aliwaombea mungu awasamehe!

Muhamad hakuwa mtata, alikua mpole tu,hakuwa mnyonge na japo hakupenda kudhurumiwa! Ila alipong'olewa meno bila hatia wala hakuwa mtata.ila aliwasamehe na kuwaombea mwisho mwema waliofanyia hivyo!
Sasa yeye huo utata kautoa wapi?

kama utata,mtata ni yeye asiwasingizie hao vipenzi vya watu!

Ajiombee tu mungu ampe afya,imani na roho ya upendo kwa watu wote!
 
YESU huyu aliyepo upande wa kiume wa Mungu baba ,anamuweka kundi moja na mudi?

Aache ujinga mara moja Sheikh Ponda
 
Back
Top Bottom