Ole Sendeka na Slaa wanatoka mkoa Arusha!tungekuwa na wabunge 2 wanamna hii kutoka kila mkoa ,tungefika mbali kujali maslahi ya taifa.Mikoa mikubwa kama Mwanza ,Shinyanga ,Tabora it is a big joke,maana wabunge wake wengi ni YES men.
Hata akina Cheyo ni mapesa tu,hakuna anachofanya kuleta upinzani kamili bungeni.
Na ukiangalia mikoa mingi yenye yes men,ni very poor na maendeleo ni duni sana pamoja na resources walizonazo
Ukiwa
Mikoa si hoja, suala ni la binafsi na si la Mkoa mzima!
Ni bora walinyamaza. Ole Sendeka alizungumza kwa vijembe vya hapa na pale hatimaye akaunga mkono hoja na kumsifu saana JK. Mwakyembe yeye alisoma taarifa ya Kiwira akaishia zake. Mshindi amebaki mmoja tu, EL na timu yake ya akina Hosea, Mwakapugi,...nimejaribu kusoma vyombo vya habari katika mitandao sijaona kama Seleli na Mwakyembe walipata nafasi ya kuzungumza,hivyo ninahisi tutakuwa hatutendi haki tukiwatumbukiza wapambanaji wote kwenye kapu moja,nafikiri kunyamaza kwao kimya kuna mshindo mkubwa mbele,nimejaribu kuupitia ule waraka wa wapambanaji wa ufisadi wa CCM naanza kupata hisia kwamba lolote laweza kutokea....lets wait and see