shemale

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
ukitazama yale mambo yaleee utawakuta wengi kweli kwenye 'niche' yao. kwa hapa bongo kweli hawa watu wapo kiivyo? wanajichanganya vipi na jamii zao? if by chance 'ukakutana' nae, what will you do
 
Hao wapo mbona wengi tu lakn kwa bongo wanajificha sababu wanahisi kama ulemavu au laana kwahyo familia zinawaficha sana.mi namfaham mmoja wao alikuwa anaishi mbeya kule cjui kama bado yupo au vipi.
 
Never came accross!
Mi huwa nadhani wanafanyiwa operation ili kuwa vile...!
 
nadhani ile ni kuzaliwa vile. wana tabu sana bila shaka kucope na ulimwengu wa kawaida
 
Wapo japo ni wachache sana. Mimi nimewahi kukutana na wawili huko kanda ya ziwa.
 
Mh hawa noma ukichukua hakawii kukuambia na mimi zamu yangu
 
Ni mashoga ambao wameenda mbali zaidi kwa kujiongezea matiti na kuvaa kikike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…