Naju23
Member
- Jul 25, 2024
- 47
- 77
Wakati naleta hii ishu nilishambuliwa lakini jamaa ndio ashafika kwa dada. Dadaak3 humuelezi kitu japo shemeji anawoga mkubwa kwangu.
Anajua namuacha tu..
.lkn ni mtu wa kwenda kuanzisha maisha yake. Miaka 30 sio wa kilealea naongea na wife jambo hili anapptezea. Tatizo lake hana mvumilivu ktk kuanza.
Dogo ni mvivu mno, yaani hajiongezi kabisa
Anajua namuacha tu..
.lkn ni mtu wa kwenda kuanzisha maisha yake. Miaka 30 sio wa kilealea naongea na wife jambo hili anapptezea. Tatizo lake hana mvumilivu ktk kuanza.
Dogo ni mvivu mno, yaani hajiongezi kabisa