Dume la Nyani
Member
- Apr 14, 2011
- 37
- 8
je wewe uko tayari kugomba na rafiki yako kwa sababu ya huyo dem....je kwa sasa huna rafikimwingi wa kiume maana inaelekea akisha kuchoka anaenda kwa huyo rafiki yako....kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!
hahahahahahaha! Kumsaidiaje??? Plz fafanua sijaelewa.tupatie namba yake ya simu ili tuwezekukusaidia asikusumbue tena
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!
mmmmmh! yaani amsaliti rafikin yake kwa sababu ya she?neva, huyo she ni kicheche tena mapepe,yaelekea umalaya chati kashikakama ni demu sishangai kufanya hayo.....angekuwa rafiki wa kike/mchumba wa rafiki yako ningeshangaa sana yeye kufanya hivyo.....!!
kama hajaridhika na aliyenae wataka asitafute option nyingine? wamefunga ndoa? wana watoto? wewe labda tu hujampenda otherwise sioni ishu kubwa isiyoelezeka hapo.
Hivi njia sahihi usipo ridhika unatafuka mwingine....kama hajaridhika na aliyenae wataka asitafute option nyingine? wamefunga ndoa? wana watoto? wewe labda tu hujampenda otherwise sioni ishu kubwa isiyoelezeka hapo.
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!