shemeji ananitaka kimapenzi....!

kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!

Aisee vijana ..hebu muwe mnakuja hapa wakati tayari mmeshapiga gemu hivo vimeo vyenu mnatuchosa sasa kuwashauti mara shemeji ananitaka mara maza hausi ananitaka ...sasa nyie ni marijali kweli au watoto sio riziki nyie!!! hata gaude wangu hawezi kuuliza maswali haya maana ntamzabua vibao...mi nataka niitwe kwenye vikao vya kusikia kajaza mimba watoto wa jirani sio kucheka cheka mara ushauri mara kachana karata zangu mara sijui nini ....
 

mnh??????:nerd:
 
mkuu usimsaliti mwanaume mwenzako sababu ya chp mwanamke lyk huyo..chamsing weka umbali naye ajue utaki mazoea.
 

Hii nayo inahusiana na uzi huu? Naona umeingilia mlango wa kutokea.
 
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!

Tafadhali ukiandika hebu usiandike kwa ''shorthand'', kama huna muda basi wacha tu. ''2likuwa, ucku, xcul....." naona kama unawadharau wachangiaji vile na wewe mwenyewe huko serious hata kidogo.
 
kula kitu roho inataka,wenzio wanamega kimyakimya, ila kumbuka zana
 
tupatie namba yake ya simu ili tuwezekukusaidia asikusumbue tena

Hahahahahahah yuko mlandizi Mkuu! utayaweza ya masafa marefu LOL! I am just joking LOL!

 
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!



Dume la Nyani Mi personally nahisi ishue ingekua kujiuliza kama umwambie rafiki yako demu hafai au la! Huyo dada hana ishu ju ya jamaa kama ulivyosema yuko tayari kuachana nae. Alaf kuna huo msistizo kua rafiki yangu ambae 2likuwa 2kiishi rum moja high xcul - je ina maana hamko tena close hata ukijinyakulia mdada poa tu?
 
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!
mi mnaniuzi sana nyinyi mnakuja omba ushauri huku badala ya kumaliza kazi kwanza.hapa ungekuwa umeua story ingekuwa
"kuna dem wa mshkaji nimelamba sasa ananiganda naombeni ushauri"
kamaliza kesi kwanza kisha tuje tukushauri wewe,sasa hivi rafiki mwingine wa mshkaji wako anapewa utamu wewe uko huku unaomba ushauri
:director:
 
hahahahaha watu wamenyongolota humu!
 
Du achana nae ni kicheche ukikitongoza tu mbio na breki ya kwanza ni kwa huyo jamaa yako hata msg usithubutu
 

Pamoja sana!
 
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!

Kula hiyo mambo! Aaah shemeji mtam ile mbaya hujui 2.
 
JF inapoteza mwelekeo???hizi post zipelekwe kunako stahili!!
 
mpe vitu haraka sana kabla hajakuzushia kuwa au wewe sirijali au unamtaka ki-nguvu. Usicheze na ashiki za wadada
 
ni pm namba yake ntakusaidi hata kusumbua tena!
 
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!

Hata wewe ukimchukua atakuacha tu na atakwenda kwa rafiki yako. Achana naye huyo msichana hawezi kukutunzia siri na heshima yako. She is like that only.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…