shemeji ananitaka kimapenzi....!

Rafiki yangu, mwanamke wa mtu ni hatari sana. hebu jiulize, uko tayari kugombana na rafiki yako kwa ajili ya huyo GF wake? Kama anaweza kumwacha rafiki yake kwa ajili yako, huoni kuwa likely anaweza kukuacha kwa ajili ya mtu mwingine? Una hakika wewe ni bora kuliko mwenzako? Ukijiuliza maswali hayo na kupata majibu, utajua nini cha kufanya....
 
Huwezi jua kwa nini anakutaka,kwa mazuri au kwa mabaya?alafu wewe ni mtu mzima unajua mazuri na mabaya,jambo dogo kama hilo mpaka uombe ushauli?kwa hiyo JF isinge kuwepo ungefanyaje?hebu tuambie.
 
Huwezi jua kwa nini anakutaka,kwa mazuri au kwa mabaya?alafu wewe ni mtu mzima unajua mazuri na mabaya,jambo dogo kama hilo mpaka uombe ushauli?kwa hiyo JF isinge kuwepo ungefanyaje?hebu tuambie.
hata mie namshangaa kwa kweli labda anamjaribu au anatumia njia hiyo ili akituma msg ya mapenzi tu amgombanishe na kaka ake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…