<br /><b><font size="3"><span style="font-family: century gothic"><font color="#000000">Hebu tuchukulie kwamba, unaye shemeji yako, yaani mdogo wa mke wako, ambaye ni mwanamke mnayeishi naye nyumbani. Inatokea kwamba, huyu binti amekufumania na mwanamke mwingine.</font></span></font><br />
<br />
<font size="3"><span style="font-family: century gothic"><font color="#000000">Wewe unamwomba kwamba, asimwambie dada yake, yaani mkeo. Anakubali baada ya kumbembeleza sana. Lakini, pia anakupa masharti kwamba, ili asiseme kuhusu fumanizi hilo, inabidi uwe upande wake kila dada yake (Mkeo) akiwa anamfokea, kumlaumu au kufanyia lolote baya. Je hebu niambie , kama ni wewe ungefanya nini kwenye mazingira kama haya?</font></span></font><br />
</b>
Huwa naletewa kesi za namna hii.............
Hata siku moja!!...ukifumaniwa ni lazima ukatae!. Hata mkeo akikufumania live, mwambie "It's not what it looks like"..kataa,kataaa!!
Typical Man indeed...lol... Kobello hii kali!!!
Kama ningekuwa mimi ningemkubalia ili kwanza nizime hilo zali la mentali.
Baada ya muda namweleza kuwa makubaliano yetu yamenishinda na asithubutu kumweleza dada yake....Akijidai mjanja nami namwambia dada yake kwamba amekuwa ananifanyia vituko ili nikubali kutembea naye. Baada ya kukataa nidyo akanitungia hiyo kesi
Hadi hapo itakuwa ni jukumu la wife kuchagua wa kumwamini. Na kama anaishi kwangu na ninamtunza...sharti ni kwamba baada ya hiyo issue kuwa public lazima yeye aondoke!
Nadhani hadi hapo atakuwa amebeba liability na naamini kama ana akili hawezi tena kujaribu kumweleza dada yake!!
Yuko sahihi kabisa,
Mwanamume wa kweli hanyooshi mikono juu hata kama risasi zoooote zimeisha.....Ikibidi anatumia singe...
Kukiri kwamba kweli umefumaniwa ukibanjua nje ni udhaifu unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zooooote.....
Kama ningekuwa mimi ningemkubalia ili kwanza nizime hilo zali la mentali.
Baada ya muda namweleza kuwa makubaliano yetu yamenishinda na asithubutu kumweleza dada yake....Akijidai mjanja nami namwambia dada yake kwamba amekuwa ananifanyia vituko ili nikubali kutembea naye. Baada ya kukataa nidyo akanitungia hiyo kesi
Hadi hapo itakuwa ni jukumu la wife kuchagua wa kumwamini. Na kama anaishi kwangu na ninamtunza...sharti ni kwamba baada ya hiyo issue kuwa public lazima yeye aondoke!
Nadhani hadi hapo atakuwa amebeba liability na naamini kama ana akili hawezi tena kujaribu kumweleza dada yake!!
Hivi kweli dhamira haitakushtaki?
Mtambuzi:
Unless you are lookiing for a bandaid solution, i.e . "kusitiri kidonda on the surface wakati ndani kinaoza", then dont listen to this.
Sooner or later, these things have a way of coming out, bora ukae chini na mkeo umueleze ukweli and be done with it. Hicho cha shem
kusema atakufichia siri with this and that condition, I think that bunch of bs. Dont forget that huyo ni ndugu yake so even if she promises not to tell eventually, she may then where will that leave you?
Mtambuzi:
Unless you are lookiing for a bandaid solution, i.e . "kusitiri kidonda on the surface wakati ndani kinaoza", then dont listen to this.
Sooner or later, these things have a way of coming out, bora ukae chini na mkeo umueleze ukweli and be done with it. Hicho cha shem
kusema atakufichia siri with this and that condition, I think that bunch of bs. Dont forget that huyo ni ndugu yake so even if she promises not to tell eventually, she may then where will that leave you?
Hata siku moja, usikubali hii haisidii bali itaharibu ndoa.Mtambuzi:
Unless you are lookiing for a bandaid solution, i.e . "kusitiri kidonda on the surface wakati ndani kinaoza", then dont listen to this.
Sooner or later, these things have a way of coming out, bora ukae chini na mkeo umueleze ukweli and be done with it. Hicho cha shem
kusema atakufichia siri with this and that condition, I think that bunch of bs. Dont forget that huyo ni ndugu yake so even if she promises not to tell eventually, she may then where will that leave you?
That is Point!