Shemeji kamfumania halafu………….

Siyo kweli mkuu....<br />
<br />
linapokuja suala la mume...hakuna kuaminiana...Yaani mtu hawezi kumwani hata mama yake sumbuse dada??? Mwanamume ukitumia udhaifu huo lazima utawagombanisha na kubaki na mke wako kwa raha zooote!!
<br />
<br />
Aisee!
 
Hata siku moja!!...ukifumaniwa ni lazima ukatae!. Hata mkeo akikufumania live, mwambie &quot;It's not what it looks like&quot;..kataa,kataaa!!
<br />
<br />

Acha utani bana! Yaani kitu redi hended halafu unaleta masihara? Huyo mwanamke akikusamehe ni kwa mapenzi yake tu lakini sio kwa sababu umekataa kosa.
 
Hiyo ni blackmailing nayo ni illegal vilevile
 
mie ningechapa kabisa na shem.... then heshima ndio ingekuwepo... Upo?
 
kama mwakumbuka kile kisa cha mtu alikuwa anaoa eti wakwe wakamjaribu kwa kumuandaa mdogo wake na mke wake mtarajiwa amwite home avae kanga moja ampeleke room kwake huku akipanda ngazi na kaucha umbo la mwili wake wazi, jamaa akatoka nje kuendea gari lake kumbe wakwe wapo nje wanasubiri kama atahadaika wakampongeza hawakujua alikuwa anaendea condom kwenye gari lake ili aurdi ndani amalize mchezo, mm ningefanya hivo hivo akishanifumania nae lazima kieleweke namla afu tuone kama atanisemea kwa wife,.lol
 
<br />
<br />

Acha utani bana! Yaani kitu redi hended halafu unaleta masihara? Huyo mwanamke akikusamehe ni kwa mapenzi yake tu lakini sio kwa sababu umekataa kosa.
sikiliza nyimbo ya Shaggy- "It wasn't me"
 
Hata siku moja!!...ukifumaniwa ni lazima ukatae!. Hata mkeo akikufumania live, mwambie &quot;It's not what it looks like&quot;..kataa,kataaa!!
<br />
<br />
HIYO COURAGE YA KUKATAA UTAIPATA WAPI KAMA UMEFUMWA LIVE? VINGINEVYO BASI HAPO UNA WIFE AMBAYE HAKUPENDI.
 
Hata siku moja, usikubali hii haisidii bali itaharibu ndoa.<br />
The eleventh commandment &quot;Thou shall not get caught,if caught thou shall not admit&quot;.
<br />
<br />
NEVER KNEW THIS BEFORE!!
 
<br />
<br />
HIYO COURAGE YA KUKATAA UTAIPATA WAPI KAMA UMEFUMWA LIVE? VINGINEVYO BASI HAPO UNA WIFE AMBAYE HAKUPENDI.
Mkeo akikupenda,atakupa the benefit of doubt.Ukikataa atajitahidi kuchunguza...ukikubali,maisha yako yote yatakuwa na kidonda.Ukichelewa kutoka kazini hata miaka kumi baadae atakwambia ulikuwa unakula uroda somewhere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…