Mhh EXPERIENCEEE!!!!!!
Hapana sina kitu nae ila alikuwa rfk kipindi yuko na ndugu yanguhuyo ndugu yako ameshaachana na huyo kaka,
sasa kinachokufanya wewe uendelee kuwa karibu ya huyo kaka ni nini?
au ndio kuendelea kumuheshimu huko?
maana yake mpaka kufikia kukaripiana kwenye simu, achilia mbali kukutana,
inaonyesha mna kitu kinachoendelea hapo baina yenu!!!!!
Ni kwel mi nilikuwa naogopa kumjibu vibaya ila kwa sasa nitajitahid kumpa ukwelKama hutaki kwenda naye mtamkie wazi, unajua wanawake huwa mna matatizo ya kufupisha maelezo. Unaanza kumdanganya eti niko buzy, ningekuja. unategemea nini kama si kusumbuliwa kila siku?
kweli wifi chagua moja mapema ili yasije kukukuta kama mmBacha naomba kujua, mana inanihusu - kuna rafiki zangu wakaribu saana
The guy nimejuana nae for 3 years na the mdada 5 but close for 2 years..
Niliwakutanisha mapenzi yao (wana mwaka sasa) na wana bifu saizi na they both
confide in me ila nishaona wanaachana maana issue ngumu...
Wakiachana inabidi nichague upande mmoja tu??
Bacha naomba kujua, mana inanihusu - kuna rafiki zangu wakaribu saana
The guy nimejuana nae for 3 years na the mdada 5 but close for 2 years..
Niliwakutanisha mapenzi yao (wana mwaka sasa) na wana bifu saizi na they both
confide in me ila nishaona wanaachana maana issue ngumu...
Wakiachana inabidi nichague upande mmoja tu??
Nothing wifi zaid naona ananizingua tu
kweli wifi chagua moja mapema ili yasije kukukuta kama mm