Shemeji wa kike wa baba yangu mdogo ananihitaji kimapenzi nimkubalie

<br />
<br />
Cjatumia kbs,kusema yuko sield hayo ni maneno yake na anauhakika kama ntakuwa mpenzi wake basi ndo ntakua wa kwanza kumuingilia kimwili,naposema kuwa ni mzuri ni sifa ya kawaida na haina mahusiano na maamuzi yangu.
 
Hapo umeomba ushaur au ume2ambia?ulijuaje kama sield kama sio umeshatenda....toa upuuz
 
Mrudieni mungu jamani, we ukatembee na mama yako kweli inakuja akilini??
 
Kumbe wee Zubeda_Mchuzi ni kidume!!!! sasa mbona huwa hueleweki? haya mkubalie ombi lake baada ya kuchuja faida na hasara za kufanya hivyo!
 
Kumbe wee Zubeda_Mchuzi ni kidume!!!! sasa mbona huwa hueleweki? haya mkubalie ombi lake baada ya kuchuja faida na hasara za kufanya hivyo!
 
<br />
<br />
We huna msimamo maana hata hujui ka unamtaka au humtaki kula mzigo ila ucfanye parking unasimama kwa muda unaendelea na safari yako
we piga mashine bwana. ila kama huna mpenzi oa kabisa
 
\
we zubeda mbona sikuelewi unamtamani mwanamke mwenzio mbona jina lako ni la kike au semanya?
 
zubedaaa...ushauri wangu ni kwamba..."mwambie babako mdogo kuwa mdogo wake mama yako mdogo anataka umgonge ngozi ila wewe hutaki kama vipi babako mdogo agonge double plattinum...hiyo itakuwa imekaa fresh.
 
jama wadogo zako kutoka kwa baba mdogo watakuitaje na huyo mwanamke atakuwa anamuitaje baba yako mdogo mambo mengine tusiwe na tamaa wanawake kwa nini ni wengi sana tafuta mwingine achana naye itatokea aibu hasa mtakapo kuwa na ugomvi ndio utajua nani ashauli au asishauli yangu ni hayo tu
 
wewe umeshatoa sifa zake na inaonekana ulishaanza nae
 
<br />
<br />
Nimekupata mkuu
 
zubedaaa...ushauri wangu ni kwamba...&quot;mwambie babako mdogo kuwa mdogo wake mama yako mdogo anataka umgonge ngozi ila wewe hutaki kama vipi babako mdogo agonge double plattinum...hiyo itakuwa imekaa fresh.
<br />
<br />
Ningefanya hvyo kama wangekuwa wote wajaluo ndo wenye mila hizo.
 

Kumbe kuna Zubeda wanaume siku hizi.
 
Toa ushauri ID siyo isue,
kumbe hujanisoma?! mi ID yako sina shida nayo. nlikua namaanisha cjakuelewa coz ID yako nikiisoma inaonesha ww ni ke na post nikiisome maelezo yake yanaonesha ww ni me .......ndio mana nkakuuliza mbn ID na post yako mama mmoja baba mbalimbali? ww ni me au ke? ili niweze kukupa ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…