Kwa mila na Desturi zetu za Kitanzania. Jamaa aliyeoa dada yako hata siku moja SIO NDUGU YAKO. Hii kitu inote kwa sababu kwanza kabisa dada yako akifariki jamaa anaenda kumzika kwao. Watoto wote anaandika majina yake. Mali zote anaandikisha either MAMA YAKE au Mdogo wake wa Kiume au watoto wake wa Kiume.
Nataka kusema nini?? Ukiwa na dada yako ameolewa na jamaa usitumie muda mwingi kujiweka karibu kwa sbb huyo sio ndugu yako hata siku MOJA. Mila na Desturi zetu hazimpi nafasi mtoto wa kike kumiliki chochote either kwa WAKRISTO au WAISLAMU. Hili ni janga kubwa.
Ndio maana ukizaa watoto wa kike ni kama vile huna chako. Ndio maana mtoto wa kike nashauri msomeshe vzr awe na mali zake asije kutegemea mwanaume. Mwanamke akiolewa na akategemea mwanaume huyo hana cha kurithi wala kumiliki.
Kwa hiyo Watanzania mjitahd kuhakikisha watoto wa kike wanakuwa na vitu vyao wenyewe ili wasinyanyasike kwenye NDOA Zao kama ni gari awe na uwezo wa kulinunua, Shamba Nyumba na n.k
Nataka kusema nini?? Ukiwa na dada yako ameolewa na jamaa usitumie muda mwingi kujiweka karibu kwa sbb huyo sio ndugu yako hata siku MOJA. Mila na Desturi zetu hazimpi nafasi mtoto wa kike kumiliki chochote either kwa WAKRISTO au WAISLAMU. Hili ni janga kubwa.
Ndio maana ukizaa watoto wa kike ni kama vile huna chako. Ndio maana mtoto wa kike nashauri msomeshe vzr awe na mali zake asije kutegemea mwanaume. Mwanamke akiolewa na akategemea mwanaume huyo hana cha kurithi wala kumiliki.
Kwa hiyo Watanzania mjitahd kuhakikisha watoto wa kike wanakuwa na vitu vyao wenyewe ili wasinyanyasike kwenye NDOA Zao kama ni gari awe na uwezo wa kulinunua, Shamba Nyumba na n.k