mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
- Thread starter
-
- #21
Shukuru Mungu kama umepata mme mwema,kama hujaolewa omba Mungu yasikukute.Kuna wanawake wanateseka hasa pande za chacha hukoDuh! Eeh Mungu tuepushe na wanaume katili hivo🤔 sababu ya chakula umkate mtu mkono😒
Ila mnazidisha,mke eti unamshikia panga kisu na fimbo vyote hivyo vya nini?Huku kanda pendwa hatujui kubembeleza wanawake sie.lakini cha ajabu watoto wakali kutoka kilimanjaro na Singida wanatupenda hatari.
Tuwasaidie hawa ndugu zetu,wanawatesa sana dada zetu,Aisee!
Kwani kuna sehemu ukiristo umekataza ndoa za mitala?Tena makabila hayo ya bara huko kanda ya ziwa kuoa mitala kwao ni jambo la kawaida hata kama ni Wakristo [emoji108][emoji108]
Yani kuwa na michepuko ni jambo la kawaida kwao.
Unakuta baba mkwe mwenyewe anamitala chungu nzima halafu ni Mkristo eti?!
Kesi ya uasi ktk ndoa Mwanaume kuchepuka ukiwaambia ndugu zake au wanajamii watakushangaa wewe mwanamke wa ndoa.
Kupiga ni matokeo ya kutojiamini, ushamba, ukatili na unyamaSina nia ya kukashfu wa kutukana kabila la mtu, ila hapa natoa mtazamo wangu mimi kama mtimawachi.
Tukija kwenye baadhi ya vitabu vya dini vinakiri kabisa kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu. Tumeaswa kuwapenda wake zetu, mtume Mohammad ameonya kuhusu kupiga mke akaongeza kama ikibidi mpe pigo jepesi.
Sasa shemeji zangu WAKURYA inakuwaje umpige mkeo kipigo kizito namna hii. Eti unamshikia panga, kisu fimbo hujui kama hiki ni kiumbe dhaifu?
Hakuna sifa yoyote utakayopata eti umepambana na mkeo umeshinda!
NAKUBALI wanawake wa gubu,lakini haina maana kuwadhalili
Mimi mbona dada yenu simpigi na huu ni mwaka wa 16 nipo nae lakini nyie miezi 3 tayari MMEMNYOA na KISU dada yangu.
Ninawaomba mashemeji zangu mmbadilike, hizo habari za kuwajeruhi wake zenu zibakie hadithi tu.
NB: Kama wewe ni Mkurya na haumbughudhi mke huu uzi haukulengi
Na wewe kama siyo Mkurya lakini una tabia tajwa hapo juu ubadilike.
Mwisho nimalizie kwa kusema dada yenu anawasalimia huku anasema anawashukuruni kwa kumuoza kwa dume la KIMAKUWA mtimawachi
NAJUA mkisoma uzi huu mtatamani kunikatakata lakini nilishasoma 'grid reference' ya adui nikajua hamuwezi nifikia
Kuna kabila gani hapa Africa ambalo wanaume hawawatwangi wake zao?Kupiga ni matokeo ya kutojiamini, ushamba, ukatili na unyama
Huku kanda pendwa hatujui kubembeleza wanawake sie.lakini cha ajabu watoto wakali kutoka kilimanjaro na Singida wanatupenda hatari.
Motivational speakerKupiga ni matokeo ya kutojiamini, ushamba, ukatili na unyama
We ongea na shemeji yako, ukisema wakurya kwa ujumla ina maana dada yako kaolewa na wakurya wote?Sina nia ya kukashfu wa kutukana kabila la mtu, ila hapa natoa mtazamo wangu mimi kama mtimawachi.
Tukija kwenye baadhi ya vitabu vya dini vinakiri kabisa kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu. Tumeaswa kuwapenda wake zetu, mtume Mohammad ameonya kuhusu kupiga mke akaongeza kama ikibidi mpe pigo jepesi.
Sasa shemeji zangu WAKURYA inakuwaje umpige mkeo kipigo kizito namna hii. Eti unamshikia panga, kisu fimbo hujui kama hiki ni kiumbe dhaifu?
Hakuna sifa yoyote utakayopata eti umepambana na mkeo umeshinda!
NAKUBALI wanawake wa gubu,lakini haina maana kuwadhalili
Mimi mbona dada yenu simpigi na huu ni mwaka wa 16 nipo nae lakini nyie miezi 3 tayari MMEMNYOA na KISU dada yangu.
Ninawaomba mashemeji zangu mmbadilike, hizo habari za kuwajeruhi wake zenu zibakie hadithi tu.
NB: Kama wewe ni Mkurya na haumbughudhi mke huu uzi haukulengi
Na wewe kama siyo Mkurya lakini una tabia tajwa hapo juu ubadilike.
Mwisho nimalizie kwa kusema dada yenu anawasalimia huku anasema anawashukuruni kwa kumuoza kwa dume la KIMAKUWA mtimawachi
NAJUA mkisoma uzi huu mtatamani kunikatakata lakini nilishasoma 'grid reference' ya adui nikajua hamuwezi nifikia
Naomba Mungu ajalie nimpate mwema aisee, mambo ya vipigo siyo kabisa.Shukuru Mungu kama umepata mme mwema,kama hujaolewa omba Mungu yasikukute.Kuna wanawake wanateseka hasa pande za chacha huko
Kwani kuna sehemu ukiristo umekataza ndoa za mitala?
Suleimani alikua na wanawake zaidi ya 700 na bado alikua rafiki yake Mungu.
Ibrahimu alikua anatafuna hadi beki tatu na mungu alikua anampenda kuliko kitu chochote.
Daudi alikua anatafuna wake za watu na bado mungu alikua anampenda sana.
Wana wa izrael walipokua wanatoka misri mungu aliwaagiza kila kijiji waue wanaume wote wajitwalie wanawake kama wake zao, mtu alikua huru kuchukua idadi ya wanawake anaowataka.
Ndoa za mitala zimwkatazwa wapi?
Usiniletee hadithi za Paulo, yale ni mawazo binafsi ya Paulo na sio maelekezo ama makatazo ya mungu.
Msiwalaumu wakurya bure.
Domestic violence ni tabia ya mtu, ila akifanya mwingine ni balaa.[emoji16][emoji16][emoji16] sime atembee nalo mmasai, akibeba mkurya katili.
Yule aliyemuua mkewe na kumbanika nae ni mkurya ee!!
Kuna mtu alimuoa mama yake kwenye biblia,Yuda alizaa na mkwewe Tamari,mtoto mkubwa wa Yakobo alilala na mke wa baba yake lakini hata ibrahim mwenyewe alimwoa SARAH ambaye dada yake kabisa baba mmoja mama tofautiKwani kuna sehemu ukiristo umekataza ndoa za mitala?
Suleimani alikua na wanawake zaidi ya 700 na bado alikua rafiki yake Mungu.
Ibrahimu alikua anatafuna hadi beki tatu na mungu alikua anampenda kuliko kitu chochote.
Daudi alikua anatafuna wake za watu na bado mungu alikua anampenda sana.
Wana wa izrael walipokua wanatoka misri mungu aliwaagiza kila kijiji waue wanaume wote wajitwalie wanawake kama wake zao, mtu alikua huru kuchukua idadi ya wanawake anaowataka.
Ndoa za mitala zimwkatazwa wapi?
Usiniletee hadithi za Paulo, yale ni mawazo binafsi ya Paulo na sio maelekezo ama makatazo ya mungu.
Msiwalaumu wakurya bure.
Domestic violence ni tabia ya mtu, ila akifanya mwingine ni balaa.
Juzi huko Manyara, kuna watu wamekatana MASIKIO Lakini raia kama hawaoni vile.
Ila nakuhakikishia hilo tukio lingetokea Mara, linge trend balaa.
Hivyo hivyo, kwa yule jamaa wa Kigamboni aliyechoma mke wake na gunia pa mkaa sidhani kama ni mkurya.
Kitu kingine ni ukeketaji, kuna makabila kibao nchi hii yanakeketa ila mkurya akipiga tukio ni talk of the town.
Kwenye uzi pale mwishoni nimeweka bayana mkuu,Domestic violence ni tabia ya mtu, ila akifanya mwingine ni balaa.
Juzi huko Manyara, kuna watu wamekatana MASIKIO Lakini raia kama hawaoni vile.
Ila nakuhakikishia hilo tukio lingetokea Mara, linge trend balaa.
Hivyo hivyo, kwa yule jamaa wa Kigamboni aliyechoma mke wake na gunia pa mkaa sidhani kama ni mkurya.
Kitu kingine ni ukeketaji, kuna makabila kibao nchi hii yanakeketa ila mkurya akipiga tukio ni talk of the town.
Kweli aisee. Ni kama ushamba kubaki wa wasukuma na wanyakyusa. Kunakuwa na utetezi butu ikitokea mtendaji sio kabisa husika. Issue ya ukeketaji Mara ni ya tatu au nne nchini lakini ndio wanaonekana vinara. Fikiria ile ya kuwasugua watoto wachanga vi**mi kama njia ya kuwakeketa wangali wadogo ingekuwa ni Mara.Domestic violence ni tabia ya mtu, ila akifanya mwingine ni balaa.
Juzi huko Manyara, kuna watu wamekatana MASIKIO Lakini raia kama hawaoni vile.
Ila nakuhakikishia hilo tukio lingetokea Mara, linge trend balaa.
Hivyo hivyo, kwa yule jamaa wa Kigamboni aliyechoma mke wake na gunia pa mkaa sidhani kama ni mkurya.
Kitu kingine ni ukeketaji, kuna makabila kibao nchi hii yanakeketa ila mkurya akipiga tukio ni talk of the town.
Point za watu wasiotaka mabadiliko utazijua tu,hata ukiwawekea takwimu watapinga tu.Mkaruka hata takwimu rasmi zinaonesha hivyo kwamba vinara wa unyanyasaji wa kijinsia ni mkoa wa Mara wengine wakifuatia!
Yani kwenye jamii yenu mmezidi mno.