Wadada wa kichaga wanajidai kukataa kuolewa na jamaa zao wanakwenda kuolewa na wakurya, wanayokutana nayo huko hamu hawana tena!
Yani Mwanaume anapata uhalali wa kufanya umalaya sababu hata baba yake mzazi Ndiyo aina ya maisha aloishi.
Mwanaume kuzaa nje kwa michepuko na kukuletea watoto chungu nzima ni kawaida kwao[emoji108][emoji108]
Mitala kama yote!
Mwanamke utabaki na sononi maana kila ukitafakali hupati jibu.