Shemeji zangu wakurya sasa dunia imebadilika

Kuna shemeji yangu huko mmoja alichukua mchepuko akazama nae geto.Baada ya dakika 10 zikaanza kusikika sauti huko ndani za ugomvi 'utasema leo nani aliyekuambia mi na ukimwi' kumbe mchepuko ulikuwa unadai jamaa avae kinga jamaa hataki akaanza kumdunda yaani hadi aibu
 


[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]

Ni noma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…