Shenazi Khamis Bweni Napapenda ChitChat,nipokeeni.

Donn endelea kubakia na dada wako tu Marry Hunbig ila ujue ukiwa hauna mpenzi raha sana

Mmh... Mi ninae but not JF... Japo presha presha sana... Usingle unaraha yake but siuwezi aisee... Hongera lakini kwa kuumudu...
 
Last edited by a moderator:
Ukiachana ujaribu kua single utaona raha yake, na ukishazoe hutotamani kua na mupenzi Donn nakuambia
Mmh... Mi ninae but not JF... Japo presha presha sana... Usingle unaraha yake but siuwezi aisee... Hongera lakini kwa kuumudu...
 
Last edited by a moderator:
Ukiachana ujaribu kua single utaona raha yake, na ukishazoe hutotamani kua na mupenzi Donn nakuambia

ngoja nione, nilisha kuwa single kipindi flani... Ila nahisi kama nitaenda nae mpaka ndoa hivi... Teh teh teh... But hiyo mpaka atulizane ...
 
Last edited by a moderator:
Kitu cha ndoa. Hongera Donn panapo kua na mwana mke kuna mafanikio, ila mimi sitaki hayo mafanikio ya mwanamke kua nyuma yangu
ngoja nione, nilisha kuwa single kipindi flani... Ila nahisi kama nitaenda nae mpaka ndoa hivi... Teh teh teh... But hiyo mpaka atulizane ...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…