cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Jamaa mmoja anaitwa engine or Cyrus producer na muimbajiOya huyo ni nani anaye mchumbia jamn......ingawa sura sio ngeni
Hahahahahahahaaaaaaa
Sie dini yetu inakazia kutangaza Ndoa na sio uchumba maana binaadam mashaka,ndio maana hawa mastaa hawafikagi mbali kwa kujianika kwao.
Hako ka-engine ndo kamebeba mzigo?Jamaa mmoja anaitwa engine or Cyrus producer na muimbaji
Hahahhahahhhhhaaäaaa
Tanzania [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]A parliament of
Labda Engine ya scania.Hako ka-engine ndo kamebeba mzigo?
Kila la heri kwake!Labda Engine ya scania.