Chama cha wezi tz Vs Chama cha mambuzi....
Tifuaneni mkiweza muuane kabisa.....Ila nawaapia hakuna Kati yenu atayeiona 2099.......kila kitu ni ubatili mmmmbw* nyie.
Nitashangaaa sana kama Kuna walimu watahudhuria hiyo sherehe. Nitawaona hamnazo kabisa. Yani mtu akuibie pesa zako halafu uende uwanjani kushangilia kuibiwa pesa, hiyo ni akili kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.