Chama cha wezi tz Vs Chama cha mambuzi....
Tifuaneni mkiweza muuane kabisa.....Ila nawaapia hakuna Kati yenu atayeiona 2099.......kila kitu ni ubatili mmmmbw* nyie.
Nitashangaaa sana kama Kuna walimu watahudhuria hiyo sherehe. Nitawaona hamnazo kabisa. Yani mtu akuibie pesa zako halafu uende uwanjani kushangilia kuibiwa pesa, hiyo ni akili kweli?