Walioko UK,ni matunda ya education system ya Tanzania,kushindwa kuanalyse,brainwashing uswahili na ufisadi ambao unavuka mipaka.Hata academically wengi ni poor,wangekuwa bongo wengi wangekuwa jobless!
Ni tofauti na wale wa State,wana Jumuia nzuri sana ,non-political .Ukienda Houston,Chicago,
Wichita ,Minnesota .
Bwana Phares,majibu yako yanaonyesha kuwa ni mtu muungwana sana.Lakini uungwana wako unatiwa doa na hali halisi kwamba mtu mwenye akili zake timamu,AND i REALLY MEAN THAT,hawezi kupoteza muda wake kujiaibisha kama mnavyofanya wewe na hao wenzio wanaotafuta short cut ya umaarufu thru matawi ya CCM njeya nchi.
Nathamini haki zenu za kikatiba na kidemokrasia kujiunga na chama chochote cha siasa,lakini tungetarajia kwamba uwepo wenu huku nchi zilizoendelea kungewafungua macho na kutambua kwanini CCM ni chanzo na sehemu muhimu ya matatizo yanaikabili nchi yetu hivi leo.Na tusingesita kuwapongeza laiti mngetumia existence yenu ndani ya chama hicho cha kifisadi kuwafahamisha akina Msekwa kwamba wanaipelekea nchi pabaya.Unfortunately,mnaonekana mko bize zaidi na hivyo vyakula vinavyoambatana na "mikutano yenu" sambamba na photo opportunities kuliko kuwathamini Watanzania wenzenu wanaoteswa na chama hichohicho mnachokishabikia.
Shame on you,losers!
Walioko UK,ni matunda ya education system ya Tanzania,kushindwa kuanalyse,brainwashing uswahili na ufisadi ambao unavuka mipaka.Hata academically wengi ni poor,wangekuwa bongo wengi wangekuwa jobless!
Ni tofauti na wale wa State,wana Jumuia nzuri sana ,non-political .Ukienda Houston,Chicago,
Wichita ,Minnesota .
Labda nikufahamishe kuwa Wana CCM waliopo States nao vile vile wanatumia haki yao kujishughulisha na chama chao.
Mkuu taratibu sio wote walio UK wako kwenye huo upuuzi.
Walioko UK,ni matunda ya education system ya Tanzania,kushindwa kuanalyse,brainwashing uswahili na ufisadi ambao unavuka mipaka.Hata academically wengi ni poor,wangekuwa bongo wengi wangekuwa jobless!
Ni tofauti na wale wa State,wana Jumuia nzuri sana ,non-political .Ukienda Houston,Chicago,
Wichita ,Minnesota .
Nini kusudi la posti yako?
Labda nikufahamishe kuwa Wana CCM waliopo States nao vile vile wanatumia haki yao kujishughulisha na chama chao.
Nini kusudi la posti yako?
Nimeona website yao,lakini hakuna viongozi ?
I support you Watanzania, kusudi la post hii kuwekwa hapa ni nini??
Samahani S.S Phares
Swali la kijinga and it is personal lakini huenda linaweza jibu mambo yote.
Ulifikaje huko? kuwa mkweli.
Hebu tusaidiane mawazo kwenye hili Mkuu sababu mimi linaniumiza kichwa.
Hawa Watanzania walio nje; hawana shida ya maji, umeme, usafiri, n.k lakini kwa kuzingatia uhuru na busara zao wameamua kujiunga pamoja na kusheherekea kuzaliwa kwa CCM.
Watanzania wengi walioko Dar-es-salaam wana shida ya maji, umeme, usafiri n.k na wao pia kwa uhuru wao wameipigia 2005 wameipigia kura CCM katika viti vyote vya Ubunge.
Ni Watanzania wa upande gani wanastahili pole kati ya hawa?
Tusaidiane mawazo mkuu bila jazba.
Hii ni topic ya Siasa mimi binafsi nilifikaje hapa inakuhusu wewe.
Ina maana kwa sababu tu, tumetofautiana kwenye hii hoja ndio unataka kunijua??!!
Hili ni Jukwaa ya Siasa.
Mlalahoi,
Hebu punguza jazba kidogo, kisha utaona mimi na wewe tuko kwenye mstari mmoja, tunakubali Wana CCM wajiunge na CCM yao popote pale walipo.
Unapokuja kwenye nini Wana CCM wa UK wanatakiwa kufanya ndani ya Chama Chao kama wewe sio Mwanachama mwenzao unakosa haki ya kuwaamulia. Huo ndio ukweli halisi, kutegemea kuwa Wana CCM watafanya anavyotegemea Mlalahoi ni yale ya yale ya kusubiri kuwa disapointed.