Sherehe za Uhuru 9/12/2019 kufanyikia Mwanza, wenye maneno anzeni kuisema Kanda ya Ziwa

Sherehe za Uhuru 9/12/2019 kufanyikia Mwanza, wenye maneno anzeni kuisema Kanda ya Ziwa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hureee!

Ni habari za chini ya kapeti

Kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru, sherehe kufanyikia Mwanza
 
Kama 9-12-1961 bendera ilipandishwa kirumba no doubt.
 
Yote kheri maana si lazima iwe Dar lakini kama haingiliii taratibu na sheria zetu ingefanyika Makao makuu ya nchi Dodoma ingependeza zaidi
 
Hureee!

Ni habari za chini ya kapeti

Kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru, sherehe kufanyikia Mwanza
Ndiyo tutasema, tangu lini Sherehe za Uhuru zikaadhimishwa nje ya Makao Makuu ya nchi? Hili jitu ni libaguzi, tribalist etc...sasa Ile hoja ya kujidai anafuta sherehe Ili ajenge barabara imekufa?
 
Back
Top Bottom