Mti wa Chuma
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 331
- 99
Habari msoma wa uzi huu,
Ni matumaini yangu u bukheri ya afya.
Kama kichwa cha uzi inavyosomeka, naomba kufahamu kama mtu anaweza kuacha kazi (ajira) akiwa anadaiwa mkopo kazini kwake.
Kwa kiufupi:
Iko hivi; Kuna rafiki yangu anataka kuacha kazi ya ajira ili afanye shughuli zake. Sasa tatizo aliwahi kuchukua mkopo wa mtu kazini kwake ambayo makato ni kwenye mshahara wake kwa kila mwezi, hadi sasa anapotaka kuacha kazi bado anadeni la sh340,000.
Mimi nimeshindwa kumpa ushauri wa kutosha kwa kuwa sina utaalamu wa sheria ya ajira na mikopo, japo nilimshauri asiache kazi hadi amalize deni.
Kwa wanaofahamu zaidi naombeni mchango wenu
Ni matumaini yangu u bukheri ya afya.
Kama kichwa cha uzi inavyosomeka, naomba kufahamu kama mtu anaweza kuacha kazi (ajira) akiwa anadaiwa mkopo kazini kwake.
Kwa kiufupi:
Iko hivi; Kuna rafiki yangu anataka kuacha kazi ya ajira ili afanye shughuli zake. Sasa tatizo aliwahi kuchukua mkopo wa mtu kazini kwake ambayo makato ni kwenye mshahara wake kwa kila mwezi, hadi sasa anapotaka kuacha kazi bado anadeni la sh340,000.
Mimi nimeshindwa kumpa ushauri wa kutosha kwa kuwa sina utaalamu wa sheria ya ajira na mikopo, japo nilimshauri asiache kazi hadi amalize deni.
Kwa wanaofahamu zaidi naombeni mchango wenu