Sheria hizi zisiwepo kwenye katiba mpya!!!

Sheria hizi zisiwepo kwenye katiba mpya!!!

mageuzi1992

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2010
Posts
2,502
Reaction score
256
Sheria ni kitu cha muhimu katika nchi yeyote. Sheria zinapokuwa sahihi na zinazokubalika husababisha nchi husika kuepuka misukosuko mbalimbali ya kijamii. Pamoja na uzuri wa sheria za nchi yetu Ya Tanzania. Kuna sheria chache ambazo nazani katiba mpya lazima ihakikishe haendeleu kuwepo;
1. Sheria ya Kinga ya Hukumu kwa Rais (i.e ikiendelea inaweza kujenga Madikteta!)
2. Sheria ya kinga ya Bunge ( Wanyonge wanakosa fursa hii)
3. PF3 ( Majeruhi wengi husa au kudhuika zaidi pale inapotakiwa wapate pf3 ndio wapelekwe hosipital)
4. Kifungo cha miaka 30 kwa anayabaka kinaegemea sana kwa mwanamume je mwanamke? (irekebishwe!)
5. n.k
 
Sheria ni kitu cha muhimu katika nchi yeyote. Sheria zinapokuwa sahihi na zinazokubalika husababisha nchi husika kuepuka misukosuko mbalimbali ya kijamii. Pamoja na uzuri wa sheria za nchi yetu Ya Tanzania. Kuna sheria chache ambazo nazani katiba mpya lazima ihakikishe haendeleu kuwepo;
1. Sheria ya Kinga ya Hukumu kwa Rais (i.e ikiendelea inaweza kujenga Madikteta!)
2. Sheria ya kinga ya Bunge ( Wanyonge wanakosa fursa hii)
3. PF3 ( Majeruhi wengi husa au kudhuika zaidi pale inapotakiwa wapate pf3 ndio wapelekwe hosipital)
4. Kifungo cha miaka 30 kwa anayabaka kinaegemea sana kwa mwanamume je mwanamke? (irekebishwe!)
5. n.k
naunga mkono hoja yako ya 4, sexual offences special provisions Act ya 1998 iliyokuwa inarekebisha penal code, hakika yake imeegemea mno upande mmoja, na zaidi sana, pale kwenye statutory rape. mwanamke yeyote ambaye si mkeo, akiwa chini ya miaka 18 hata kama mmekubaliana, amekufuata yeye mwenyewe haujamlazimisha etc ukafanya naye ngono, inahesabika ni rape. watoto wa kike wa siku hizi ndio kama unavyowajua....sisemi kuwa watu hao wasipate adhabu kabisa, ninachosema ni kwamba, kama hiari ilikuwepo kwa hawa wadada ambao wengine wakubwa tu, wapewe adhabu lakini si kali kama ilivyo sasa ya 30 years au zaidi....wapunguze miaka...sexual intercourse ambayo consent imekuwepo ni tofauti kabisa na ile ambayo hakuna consent hata kama hiyo consent inahebabika kuwa ni ya mtoto.

vilevile, jambo hili limetumika kama rungu kwa watu wengi wenye ugomvi, kusakizia mabinti zao, wakiwafumania ili mbaya wao apate rape case. nimeshuhudia case nyingi za aina hii. SHERIA KWA KISWAHILI
 
Sheria ni kitu cha muhimu katika nchi yeyote. Sheria zinapokuwa sahihi na zinazokubalika husababisha nchi husika kuepuka misukosuko mbalimbali ya kijamii. Pamoja na uzuri wa sheria za nchi yetu Ya Tanzania. Kuna sheria chache ambazo nazani katiba mpya lazima ihakikishe haendeleu kuwepo;
1. Sheria ya Kinga ya Hukumu kwa Rais (i.e ikiendelea inaweza kujenga Madikteta!)
2. Sheria ya kinga ya Bunge ( Wanyonge wanakosa fursa hii)
3. PF3 ( Majeruhi wengi husa au kudhuika zaidi pale inapotakiwa wapate pf3 ndio wapelekwe hosipital)
4. Kifungo cha miaka 30 kwa anayabaka kinaegemea sana kwa mwanamume je mwanamke? (irekebishwe!)
5. n.k
Naona wewe ni mgeni kabisa kwenye fani ya sheria, haujui katiba inatakiwa ibebe mambo gani na sheria zingine za nchi zinatakiwa zibebe mambo gani na nadhani ukiachiwa wewe kazi ya kutengeneza katiba basi ungetengeneza yenye ukubwa wa gorofa na kujumuisha sheria zote. Katiba yako ingekuwa ni penal code,CPA, civil procedure, n.k
 
Sheria ni kitu cha muhimu katika nchi yeyote. Sheria zinapokuwa sahihi na zinazokubalika husababisha nchi husika kuepuka misukosuko mbalimbali ya kijamii. Pamoja na uzuri wa sheria za nchi yetu Ya Tanzania. Kuna sheria chache ambazo nazani katiba mpya lazima ihakikishe haendeleu kuwepo;1. Sheria ya Kinga ya Hukumu kwa Rais (i.e ikiendelea inaweza kujenga Madikteta!)2. Sheria ya kinga ya Bunge ( Wanyonge wanakosa fursa hii)3. PF3 ( Majeruhi wengi husa au kudhuika zaidi pale inapotakiwa wapate pf3 ndio wapelekwe hosipital)4. Kifungo cha miaka 30 kwa anayabaka kinaegemea sana kwa mwanamume je mwanamke? (irekebishwe!)5. n.k
ndug ktk hoja yako ya 2 nkwajinsi gani kinga ya mbunge inamnyima fulsa mnyonge na hoja yako ya 1 ndio raic ampewa kinga yakuto kuhukumiwa chini ya ibara ya 46 lakini kuna njia mbadala yakuzuia kutengenaza hao maraic madikteta maana ukitazama ibara ya 46A bunge limepewa nguvu ya kumshitaki raic kwa wanasheria kuna kitu wana kiita chek & balance hii inatumika kuhakikisha madaraka uliyopewa unayatumia ipasavyo na bila kuvuka mipaka yako.....natumain umensoma kidogo
 
Back
Top Bottom