SHERIA INA SEMAJE KUHUSU hili..

SHERIA INA SEMAJE KUHUSU hili..

DAVIES

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
516
Reaction score
90
Waelewa wa jambo hili hasa upande waajira hivi mtu akiajiriwa katika wilaya tamisemi je akiacha kazi na kuomba kwingine ataajiriwa? Ila siyo tamisemi tena anaweza akaingizwa kwenye malipo ya serikali tena payrol
 
Kabla hujaacha kazi unaomba kwenda kusoma then ukiwa masomoni kumbuka unalipwa bado na tamisemi, unaanza kusomea mambo ya kule unakotamani kufanya kazi na ukimaliza masomo una-apply kule kupya ukikubaliwa unatoa taarifa kwa mwajiri wa awali. Unahamia
 
be specific unauliza payrol au unauliza kama kuna possibility ya kuajiriwa tena.or both?
 
hiyo inawezekana kabisa just uwe muwazi kwa mwajiri wako wa awali
 
Kama nafasi imetangazwa mahali pengine,na unazo sifa za nafasi hiyo,ni kitu rahisi.Unaomba ukipata unaajiriwa.
 
Back
Top Bottom