R Robert edo Member Joined Mar 9, 2015 Posts 44 Reaction score 5 Apr 4, 2017 #1 Je kuna kikomo?(time limit) ya kudai au kulipwa fidia au inawezekana tu kulipwa au kudaiwa kwa muda wowote? Wadau wa sheria msaada Tafadhali.
Je kuna kikomo?(time limit) ya kudai au kulipwa fidia au inawezekana tu kulipwa au kudaiwa kwa muda wowote? Wadau wa sheria msaada Tafadhali.
B BISECKO JF-Expert Member Joined Nov 28, 2016 Posts 640 Reaction score 712 Apr 5, 2017 #2 Sheria imeweka ukomo katika kesi za madai, ambapo kila kesi ya madai ina muda wake wa ukomo wa mtu kuweza kudai na kupata fidia. Sheria inayoongoza ukomo wa madai ni The law of Limitations Act cap 89.
Sheria imeweka ukomo katika kesi za madai, ambapo kila kesi ya madai ina muda wake wa ukomo wa mtu kuweza kudai na kupata fidia. Sheria inayoongoza ukomo wa madai ni The law of Limitations Act cap 89.
sagaci Senior Member Joined Feb 26, 2017 Posts 100 Reaction score 69 Apr 5, 2017 #3 Km alivyosema BISECKO ndo hvyo. Je madai yko yanahusu nini ili tukwambie km u ndan ya muda ama laa!. (ie time barred)
Km alivyosema BISECKO ndo hvyo. Je madai yko yanahusu nini ili tukwambie km u ndan ya muda ama laa!. (ie time barred)