Sheria inasema vipi kuhusu kuongea na simu wakati ukiwa unaendesha chombo cha usafiri

Sheria inasema vipi kuhusu kuongea na simu wakati ukiwa unaendesha chombo cha usafiri

rajiih

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2019
Posts
489
Reaction score
744
Habari wana JF poleni na Majukumu ya kazi, Naomba niende Moja kwa Moja kwenye point.

Jana nilikua katika daladala naelekea G Mboto lakini tulipokua tumekaa Mataa ya Buguruni dereva alianza kuwa busy na simu hata baada ya Mataa kuruhusu.

Hali Ile ilipelekea mpaka abiria kuanza kumsema yule dereva lakini kwa dharau alianza kuongea kwa majigambo kuwa hatujui sheria za barabarani hivyo akitutaka kukaa kimya wakati huo akiwa Bado anaongea na simu zaidi.

Wenye kujua sheria mtusaidie katika hili
Nawasilisha.........
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Au dreva ni mwanasheria 🤣
 
Habari wana Jf poleni na Majukumu ya kazi, Naomba niende Moja kwa Moja kwenye point.

Jana nilikua katika daladala naelekea G Mboto lakini tulipokua tumekaa Mataa ya Buguruni dereva alianza kuwa busy na simu hata baada ya Mataa kuruhusu.

Hali Ile ilipelekea mpaka abiria kuanza kumsema yule dereva lakini kwa dharau alianza kuongea kwa majigambo kuwa hatujui sheria za barabarani hivyo akitutaka kukaa kimya wakati huo akiwa Bado anaongea na simu zaidi.

Wenye kujua sheria mtusaidie katika hili
Nawasilisha.........
Hairuhusiwi labda atumie headphones..lakini sio kushika kwa mkono ama kuibana sikioni
 
Back
Top Bottom