dimatteo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 868
- 932
Habari Wana jf.
Naomba kujua sheria inazungumziaje katika hili,
Yani umezaa na mwanamke ila huishi nae na umelea mimba na mtoto kazaliwa,ukalea mtoto Kwa kila kitu Akiwa na mama yake
Akafikisha umri kama miaka 7 Wa kuanza Darasa la kwanza.
Nataka kujua sheria inasemaje hapa mama akigoma kukupa Kwa kisingizio yeye anaweza kulea hata usipo toa pesa,wakati na wewe unataka katika umri huo apate malezi yako kama Baba,
Je? Baba hatakiwa kumkuza mtoto katika Misingi yake isipo kuwa mana tuu au Baba Kazi yake ni kutoa ela tuu na kumchunguli kwa mbali mpaka pale mtoto atakapo amua yeye..???
Karibuni
Naomba kujua sheria inazungumziaje katika hili,
Yani umezaa na mwanamke ila huishi nae na umelea mimba na mtoto kazaliwa,ukalea mtoto Kwa kila kitu Akiwa na mama yake
Akafikisha umri kama miaka 7 Wa kuanza Darasa la kwanza.
Nataka kujua sheria inasemaje hapa mama akigoma kukupa Kwa kisingizio yeye anaweza kulea hata usipo toa pesa,wakati na wewe unataka katika umri huo apate malezi yako kama Baba,
Je? Baba hatakiwa kumkuza mtoto katika Misingi yake isipo kuwa mana tuu au Baba Kazi yake ni kutoa ela tuu na kumchunguli kwa mbali mpaka pale mtoto atakapo amua yeye..???
Karibuni