Sheria inasemaje kuhusu birth certificate

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
Mimi kwenye cheti cha kuzaliwa nimeandikisha majina mawili yaani Frank Mkono lakini kwenye vyeti vya taaluma natumia jina moja yaani Mkono hili jina la Frank ni ubatizo je hii haiwezi kuleta matatizo baadae pengine labda ikaonekana ni watu wawili tofauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…