Sheria inasemaje kuhusu faini za Halmashauri kama huna pesa ya kulipa papo kwa hapo?

Nevets

New Member
Joined
May 27, 2021
Posts
1
Reaction score
1
Watu wa Halmshauri wamekuwa wakizunguka kwenye biashara tofauti na wakipiga faini na ukishindwa kulipa wanakuweka ndani.

Je, Sheria inasemaje kuhusu hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…