Jipange mlipe deni la dada yenu, huo ndio uungwana. Sheria iache kwanza. Wakimdhuru utasema hanihusu? Jadilianeni muwe waungwana.Naomba mwenye uelewa kuhusu hili jambo anisaidie.....
Kuna dada yangu alikua kwenye kikundi cha mikopo huko kijijini, akawa na tabia ya kuchukua mikopo mara kwa mara kwenye kikundi kwa maelezo kuwa mama ni mgonjwa kalazwa kitu ambacho sio kweli. Matokeo yake deni limekua kubwa na ameshindwa kulipa amekimbia na hajulikani alipo. Cha ajabu members wa kile kikundi wamempigia simu mama na wamemtishia kuuza viwanja vyake vilivyopo kijijini iwapo hatalipa deni la dada angu.
Naomba ushauri nichukue hatua gani na nianzie wapi?
deni si la dada yako sasa wanakujaje kuuza shamba ndio walikubaliana hivyoNaomba mwenye uelewa kuhusu hili jambo anisaidie.....
Kuna dada yangu alikua kwenye kikundi cha mikopo huko kijijini, akawa na tabia ya kuchukua mikopo mara kwa mara kwenye kikundi kwa maelezo kuwa mama ni mgonjwa kalazwa kitu ambacho sio kweli. Matokeo yake deni limekua kubwa na ameshindwa kulipa amekimbia na hajulikani alipo. Cha ajabu members wa kile kikundi wamempigia simu mama na wamemtishia kuuza viwanja vyake vilivyopo kijijini iwapo hatalipa deni la dada angu.
Naomba ushauri nichukue hatua gani na nianzie wapi?
Kama aliweka dhamna mali zenu ni halali waviuze
kama kweli wakija uza itakula kwao............lakin mkuu ni kweli mlikua hamjui kama ndugu yenu alikua anachkua mali pesa za watu? maana hata kama sheria itawalinda but mmewaharibia watu maisha yao kwa kuwaharibia kikundi chao ukizngatia maisha yalivyo magum kpnd hiki so km mnaweza lipeni tu hilo deniNaomba mwenye uelewa kuhusu hili jambo anisaidie.....
Kuna dada yangu alikua kwenye kikundi cha mikopo huko kijijini, akawa na tabia ya kuchukua mikopo mara kwa mara kwenye kikundi kwa maelezo kuwa mama ni mgonjwa kalazwa kitu ambacho sio kweli. Matokeo yake deni limekua kubwa na ameshindwa kulipa amekimbia na hajulikani alipo. Cha ajabu members wa kile kikundi wamempigia simu mama na wamemtishia kuuza viwanja vyake vilivyopo kijijini iwapo hatalipa deni la dada angu.
Naomba ushauri nichukue hatua gani na nianzie wapi?