BATULUNGE
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 391
- 633
Naomba kuuliza je kisheria inakuwaje Kama mwajiriwa ambaye Hana mkataba akaamua kuacha kazi bila kutoa notisi ya mwezi mmoja kabla ya Siku ambayo ameacha laziness,
1. Je Mwajiriwa atawajibika kisheria kutimiza matakwa ya kisheria (km kulipa 1month salary as notice pay) sawa na Yule ambaye anamkataba halali na kampuni?
2. Kama alikuwa yupo kwenye payroll inawezekana case yake ikawa na uzito sawa na mwajiriwa mwenye mkataba na Mwajiri?
Wajuzi wa Sheria naombeni msaada wenu hapa
1. Je Mwajiriwa atawajibika kisheria kutimiza matakwa ya kisheria (km kulipa 1month salary as notice pay) sawa na Yule ambaye anamkataba halali na kampuni?
2. Kama alikuwa yupo kwenye payroll inawezekana case yake ikawa na uzito sawa na mwajiriwa mwenye mkataba na Mwajiri?
Wajuzi wa Sheria naombeni msaada wenu hapa