Naomba kuuliza je kisheria inakuwaje Kama mwajiriwa ambaye Hana mkataba akaamua kuacha kazi bila kutoa notisi ya mwezi mmoja kabla ya Siku ambayo ameacha laziness,
1. Je Mwajiriwa atawajibika kisheria kutimiza matakwa ya kisheria (km kulipa 1month salary as notice pay) sawa na Yule ambaye anamkataba halali na kampuni?
2. Kama alikuwa yupo kwenye payroll inawezekana case yake ikawa na uzito sawa na mwajiriwa mwenye mkataba na Mwajiri?
Wajuzi wa Sheria naombeni msaada wenu hapa
jibu lako linatosha, naomba mjadala ufungweeushasema hana mkataba kwa hiyo ukiachakazi timua zako tuu. Na unafanyaje kazi bila mkataba? Kwanini wkt mkataba uko kwaajili ya kukulinda mfanyakazi na mwajiri , hasa mfanyakazi...
Kama unamkataba hapo ndipo najua kuna sheria zakufuata si kuachakazi kiholela holela..
Duh! Na serikali hii ya sasa nani atakuamini sasa?Kama huna mkataba usiache kazi hivihivi subiri uaminiwe kitu ndo usepe
Shindwa na ulegee kabisa. Nakemea jina lako hiloj
jibu lako linatosha, naomba mjadala ufungwee
Asante Sana mkuu maana wananipigia simu za vitisho eti kwann sikuwaambia mwezi mmoja kabla, wanatishia kuzuia mafao yangu ya nssfushasema hana mkataba kwa hiyo ukiachakazi timua zako tuu. Na unafanyaje kazi bila mkataba? Kwanini wkt mkataba uko kwaajili ya kukulinda mfanyakazi na mwajiri , hasa mfanyakazi...
Kama unamkataba hapo ndipo najua kuna sheria zakufuata si kuachakazi kiholela holela..
Asante Sana mkuu maana wananipigia simu za vitisho eti kwann sikuwaambia mwezi mmoja kabla, wanatishia kuzuia mafao yangu ya nssf
Nashangaa swali linalouliza "unafanyaje kazi bila mkataba" takribani asilimia 90 ya waajiri hawatoi mikataba wa maandishi kwa kuogopa kujifunga, ILAushasema hana mkataba kwa hiyo ukiachakazi timua zako tuu. Na unafanyaje kazi bila mkataba? Kwanini wkt mkataba uko kwaajili ya kukulinda mfanyakazi na mwajiri , hasa mfanyakazi...
Kama unamkataba hapo ndipo najua kuna sheria zakufuata si kuachakazi kiholela holela..