Sheria inasemaje kuhusu muda wa kutoa hukumu?

Sheria inasemaje kuhusu muda wa kutoa hukumu?

mukama talemwa

Senior Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
160
Reaction score
29
Wana jf hasa wale wajuzi wa sheria ,naombeni kujua kama sheria inatoa muda wa mwisho hukumu iwe imetolewa baada ya kusikilizwa kesi,naulizia ngazi ya mahakama kuu.au jaji anaweza kuitoa wakati wowote anapojisikia ata kama ni mwaka mzima
 
Sheria inasema siku 90 lakini kutokana na mazingira inazidi muda huo!
 
Back
Top Bottom