ComputersDAR
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 213
- 242
Habari zenu wakuu
Naomba kufahamu kama kuna kipengele chcohote kwenye sheria za ardhi ambacho kinaruhusu diaspora aliyeukana uraia kuendelea kumiliki ardhi ya Tanzania iwapo diaspora huyo ana mwanandoa ambaye ni raia wa Tanzania.
Nashukuru kwa ufafanuzi wenu
Naomba kufahamu kama kuna kipengele chcohote kwenye sheria za ardhi ambacho kinaruhusu diaspora aliyeukana uraia kuendelea kumiliki ardhi ya Tanzania iwapo diaspora huyo ana mwanandoa ambaye ni raia wa Tanzania.
Nashukuru kwa ufafanuzi wenu