Sheria inasemaje kuusu urithi wa watoto wa nje jamani??

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Pengine hili somo litawapa msaada wale mnaozaa nje mnawaandaje watoto wenu wasije pata shida
mnapoaga dunia kwa kweli...hili nimeona kwenye gazeti la jana kesi ya kupinga urithi kwa mtoto
wa nje ya ndoa..naamini wengi mmejitayarisha na kasheshe hili hasa wanandoa wa jf..na wanaume wengi wa sikuhizi wamekuwa kimya mpaka unapoletewa live bila cchenga jibaba kama marehemu unakosa cha kuongea

ninasema hivi kwetu tuko 5 wawili mama wa nje lakini hii hali ilinifanya kuwaweka ndugu zangu sawa mpaka leo hii tukikutana uwezi jua kama ni mama tofauti...pili tunasaidiana nilipopata nafasi sehemu nikliweza kuwatupa mdogo wangu na kaka ngu uk kwa kaka ambae ninamsaidia mwanae hapa dar..na matunda ninayofaidi sasa namshukuru mungu ..maana inafika tunaongea pamoja kama tuko dar

ukiwa kama mzazi nasema si vyema ukatoka nje ya ndoa najua matatizo ila iwapo shetan akakupitia basi naomba umwandae huyo mwanao mapema jinsi gani atarithi mali zako

wanasheria wa jf tusaidieni sheria ina semaje ya nchi kuhusu watoto wetu hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…