Ndugu yangu kwan hujuj cku iz nchi hii inaenda kwa matamko tu.. Sheria zinabakwa...He he he inabidi aanze kuvunja bodi ya Bahati nasibu ya taifa kwanza
Nafikir hujui sheria... Tembea na vifungu vya sheria wanaelewa. Meridianbet.co.tz walishanielewa siku mojaNdugu zangu wataalam wa sheria naomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu betting /Kamari au bahati nasibu.
1. Katiba ya nchi ina ruhusu hii michezo?
2.Je ikitokea tatizo let's say umedhurumiwa kwa namna moja ama ingine sheria ina mlindaje mchezaji (final consumer)?
3. Haki za mchezaji wa Kamari ni zipi.. Maana najua Kamari inatambulika ndio maana inachezwa kwenye ma cassino mbali mbali nchini chini ya usimamizi wa balaza la bahati nasibu la taifa.
4.NAOMBA KUWASILISHA