mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Wanasheria wetu naomba kufahamu iwapo ni sahihi kwa huyo Mwanasheria wa Halmashauri kumsimamia mtu anayetaka alipwe fidia na Halmashauri ya huyo Mwanasheria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasheria wote kwa sasa wapo chini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wala hawaruhusiwi kuendesha kesi binafsi.Wanasheria wetu naomba kufahamu iwapo ni sahihi kwa huyo Mwanasheria wa Halmashauri kumsimamia mtu anayetaka alipwe fidia na Halmashauri ya huyo Mwanasheria.
Je naweza kumshtaki kwa kukiuka hilo katazo la Mwanasheria mkuu ?Wanasheria wote kwa sasa wapo chini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wala hawaruhusiwi kuendesha kesi binafsi.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Siyo kosa la jinai, ni case ya kinidhamu.Je naweza kumshtaki kwa kukiuka hilo katazo la Mwanasheria mkuu ?
Sawa hata kama ya kinidhani namshtaki wapi kwa Mwajiri wake au Mwanasheria Mkuu?
Kwa sasa wanasheria wote wa serikali wapo chini ya mwanasheria mkuu wa serikali, hivyo linapokuja swala linagusa "taaluma "yao AG ndio mtu sahihi.Sawa hata kama ya kinidhani namshtaki wapi kwa Mwajiri wake au Mwanasheria Mkuu?
Asante kwa ufafanuziKwa sasa wanasheria wote wa serikali wapo chini ya mwanasheria mkuu wa serikali, hivyo linapokuja swala linagusa "taaluma "yao AG ndio mtu sahihi.