REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Wajuzi wa sheria tujuzeni mnadaina na mtu mkapelekana mahakamani mkandikishiana mbele ya hakimu kuwa kila mwezi mdaiwa alalipa kiasi furani cha pesa kwa mda wa mwaka mmoja ndio deni likaisha,
Lakini ule mwezi wa kwanza tu mdaiwa anakwama kuleta hiyo pesa kwa wakati je sheria inasemaje
Lakini ule mwezi wa kwanza tu mdaiwa anakwama kuleta hiyo pesa kwa wakati je sheria inasemaje