Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wafungwa nao ni binadamu kama sisi tuu. Wanaugua na wanaweza kupoteza maisha wakiwa kifungoni.. Je sheria inasemaje?
Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha huzikwa na serikali kupitia magereza na ndugu zake huja kupewa taarifa baada ya kifungo kwisha.. Je hii ni kweli?
Na kama ni kweli je sheria ni haki? Sijawahi kushuhudia mazishi ya mfungwa anayetumikia kifungo.. Sitaki kuamini kwamba hawafi..!
Wanasheria tunaomba ufafanuzi kwenye hili..
Natangulisha shukrani🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha huzikwa na serikali kupitia magereza na ndugu zake huja kupewa taarifa baada ya kifungo kwisha.. Je hii ni kweli?
Na kama ni kweli je sheria ni haki? Sijawahi kushuhudia mazishi ya mfungwa anayetumikia kifungo.. Sitaki kuamini kwamba hawafi..!
Wanasheria tunaomba ufafanuzi kwenye hili..
Natangulisha shukrani🙏🏿🙏🏿🙏🏿