Sheria inasemaje police anapomwachia mtuhumiwa?

Sheria inasemaje police anapomwachia mtuhumiwa?

Dukani

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
1,136
Reaction score
1,652
Kuna kijana amempa mtoto wa shule mimba yule kijana akakamatwa chaajabu police wamemwachia bila kunipa taarifa yoyote,nilipomuuliza police aliyepewa kupeleleza hiyo kesi ameniambia mtuhumiwa ameachiwa kwa dhamana je hili lipoje kisheria?
 
Kuna kijana amempa mtoto wa shule mimba yule kijana akakamatwa chaajabu police wamemwachia bila kunipa taarifa yoyote,nilipomuuliza police aliyepewa kupeleleza hiyo kesi ameniambia mtuhumiwa ameachiwa kwa dhamana je hili lipoje kisheria?
Kisheria yupo sahihi kwa sababu dhamana ni haki ya kikatiba kwa mtuhumiwa. Pia kosa lenyewe lina dhamana. Hivyo hakuna tatizo.

Kadhalika, kuachiwa kwa dhamana haimaanishi kwamba ndiyo kesi imeisha hivyo. Hivyo kesi itaendelea kama kawaida huyo mtuhumiwa akiwa nje kwa dhamana.
 
Kisheria yupo sahihi kwa sababu dhamana ni haki ya kikatiba kwa mtuhumiwa. Pia kosa lenyewe lina dhamana. Hivyo hakuna tatizo.

Kadhalika, kuachiwa kwa dhamana haimaanishi kwamba ndiyo kesi imeisha hivyo. Hivyo kesi itaendelea kama kawaida huyo mtuhumiwa akiwa nje kwa dhamana.
Asante kwa ufafanuzi mkuu
 
Back
Top Bottom