Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria haisemi hivyo ila according to serikali kupitia waziri mkuu wa Tanzania inasema piga raia kwahiyo raia kujilinda piga polisi. Hiyo ndiyo Serikali ya Tanzania
Wanabodi naomba maoni yenu.
Sheria inasemaje😛olisi wakifika kwa raia km wahalifu walio tayari kuhatarisha maisha ya raia?Je raia anawezakujilinda hata ikibidi kuua hao polisi?
kasome sheria ya "self defense" kifungu cha 18
kasome sheria ya "self defense" kifungu cha 18
Utakua ni uwenda wazimu na ujinga kwa kupambana na mtu mwenye bunduki!
Labda kama huna majukumu huko kwenu!