Sheria inasemaje ukijenga karibu na njia ya maji

abagabo

Senior Member
Joined
Jun 4, 2014
Posts
155
Reaction score
168
Wanajamvi,

Jamani kuna jamaa yangu amejenga karibu na mapitio ya maji na mwingine amejenga karibu na chanzo cha maji. Issue yangu ni je, hawa watu wote wawili wamevunja sheria moja? au kuna sheria ya mapitio ya maji na sheria ya vyanzo vya maji? na je zinasemaje hizo sheria?

Msaaaaada tafadhali kabla hatujavunjiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…